Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mawaziri wake,Mh.Magufuli,Mh.Mgimwa na Mh.Magembe |
Raisi yuko makini kumsikiliza Meneja wa Tanesco Nzega akitoa maelezo |
Raisi akipokea ripoti ya maendeleo ya wilaya ya Uyui kutoka kwa mkuu wa wilaya hiyo Mh.Lucy Mayenga |
Ripoti ya wilaya ya Tabora mjini ikiwasilishwa kwa Raisi na mkuu wa wilaya hiyo Mh.Suleiman Kumchaya |
Mh.Raisi akikata utepe kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Tabora-Ndono |
Mhandisi wa kichina naye hakuwa nyuma Picha kwa hisani ya michuzi blog |
No comments:
Post a Comment