Wednesday, February 20, 2013

AJALI MAENEO YA SOKOTA

Pikipiki ikiwa chini baada ya kugongwa na gari ndogo Toyota corrola na baadae kugonga Roli lililokuwa limesimama
Kwenye picha ni abiria aliyekuwa amepakiwa kwenye pikipiki iliyopata ajali maeneo ya Sokota,abiria huyo alikuwa amepata majeraha meneo ya kichwani

No comments:

Post a Comment