Thursday, March 6, 2014

FOLENI KUBWA MBAGALA MZINGA DARAJANI JANA




Jana Jioni majira ya saa kumi na mbili jioni nilikuwa naelekea maeneo ya Mbagala Kongowe nikakutana na foleni kubwa sana ambayo ilisababishwa na ubovu wa barabara pamoja na magari kutofuata taratibu na sheria barabarani.nilikuwa kwenye bodaboda lakini ilinichuku kama dk 15 hivi kupita kwenye daraja hili kwa jinsi magari yalivyokaa vibaya na kusababisha kufunga njia.
Angalia baadhi ya picha nilizochukua nikiwa kwenye eneo hilo.

hakuna pa kutokea

Hizi ni baadhi ya bodaboda zikiwa kwenye foleni


No comments:

Post a Comment