Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini |
Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini amesisitiza
kuwa hatorejesha saa yenye thamani ya Yuro elfu kumi na sita aliyopewa kama
zawadi na shirikisho la soka nchini Brazil CBF.
Shirikisho
la soka duniani FIFA limewataka maafisa wote waliopewa saa hizo katika kombe la
dunia kuzirudisha kwa kuwa zawadi hizo zinakiuka maadili ya sheria za FIFA.
Lakini
Platini mwenye umri wa miaka 59 amesema yeye hawezi kurudisha zawadi.
Platini
amesema kuwa FIFA ilikuwa na habari kwamba zawadi hizo zilitolewa mnamo mwezi
juni ,lakini akashangazwa ni kwa nini shirikisho hilo halikuchukua hatua wakati
huo.
Saa
hizo zilitolewa na mmoja ya wafadhili wa shirikisho la soka
No comments:
Post a Comment