Hii imekuwa kero sasa kwa watumiaji wa barabara ya Mbozi,Chang'ombe viwandani,
Imekuwa ni kama tabia ya kawaida kuwepo kwa mabwawa makubwa ya maji katika eneo maarufu la kilipokuwa kiwanda cha kutengeneza biskuti,
Chakushangaza ni kuwa barabara hiyo inatumiwa na viwanda vikubwa vilivopo katika eneo hilo
kama Azam,Konyagi,Kioo na vingine vingi ambavyo hatujavitaja.
Inasikitisha maana hata wafanyakazi wa viwanda hivyo pia ni waathirika wa tatizo hilo .
Wito wetu mamlaka inayohusika shughulikieni jambo hili ili kutatua kero hiyo.
|
Bwawa kubwa la maji machafu |
|
Ni shida hata jinsi ya kuvuka kufika upande wa pili |
|
Ona waenda kwa miguu wanavyopata shida kuvuka |
|
baada ya kujaribu kuvuka gari hii ilinasa |
|
Wasamalia wema wakienda kutoa msaada
|
|
Foleni ya magari yakisubiri kuvuka |
No comments:
Post a Comment