Thursday, April 23, 2015

WAKIMBIZI AZIDI KUMIMINIKA NCHINI RWANDA

Kambi ya Gashora nchini Rwanda inazidi kupokea wakimbizi wanaotoka mkoa wa Kirundo nchini Burundi ,wengi wanakimbia nchini mwao  kutokana na usalama wa nchi hiyo,wakimbizi hao wanatoka mikoa mbalimbai ya Burundi,vijana wa chama tawala inasemekana kuwa wanahatarisha usalama wa nchi.Ujenzi wa mahema kwenye kambi hiyo unaendelea,ila wakambizi wanalalamikia kuwa chakula hakitoshi.Wasimamizi wa wakambizi wa nchi ya Rwanda wanasema kambi ni ya Muda tu ,Serikaliinafanya mpango wa kuwahamisha na kuwapeleka Kirehe.inasadikiwa idadi ya wakimbizi imefikia 10000.

No comments:

Post a Comment