Mkuu
wa polisi Joseph Boinnet amesema kuwa wanajeshi hao walikuwa wanahamishwa
hamishwa upande wa Somalia kutoka kambi moja ya Al shabaab hadi nyingine.
Hakutoa
maelezo zaidi juu ya namna walivyoachiliwa lakini amesema kuwa wako katika hali
nzuri ya afya.
No comments:
Post a Comment