Friday, July 10, 2015

Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya

Polisi nchini Kenya wanasema kuwa maafisa wawili wa jeshi la Kenya waliotekwa na wanamgambo ya AL Shabaab yapata miaka miwili iliyopita wameachiliwa huru.
Mkuu wa polisi Joseph Boinnet amesema kuwa wanajeshi hao walikuwa wanahamishwa hamishwa upande wa Somalia kutoka kambi moja ya Al shabaab hadi nyingine.

Hakutoa maelezo zaidi juu ya namna walivyoachiliwa lakini amesema kuwa wako katika hali nzuri ya afya.

No comments:

Post a Comment