Monday, July 6, 2015

BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA WAHUKUMIWA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam  imewahukumu kwenda jela miaka mitatu aliyekuwa waziri wa fedha wa zamami Basil Mramba na aliyekuwa waziri wa Madini na Nishati wa zamani Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh.Bilioni 11.7

No comments:

Post a Comment