Friday, July 10, 2015

MESSI SINGANO AMWAGA WINO AZAM FC

Mchezaji wa zamani wa Simba Messi Singano,amesajiliwa na Timu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka 2.
Hii inaonyesha kuwa Messi alikuwa amepania kujiunga na timu hiyo ya Azam FC baada ya kumalizana na Simba iliyomkuza.
Messi akisaini mkataba huo mbele ya viongozi wa Azam FC

Uzi mpya atakaotinga Messi akiwa na Azam FC

No comments:

Post a Comment