Wednesday, December 16, 2015

WAZIRI ATOA SIKU 14 KUKAGUA MIKATABA YA AJIRA

Waziri wa nchi ,Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,Uratibu na Bunge,Kazi,Ajira,Vijana na Watu wenye Ulemavu,Jenista Mhagama metoa siku 14 kwa maofisa kazi wote nchini,kukagua mikataba ya ajira nchini.
Waziri alitoa agizo hilo jana jijini Dar es salaam alipotembelea kiwanda cha kutengeneza nguo cha Tooku Tanzania Germent kilichopo Mabibo External,ambacho wafanyakazi wake wana mgogoro na Mwajiri wao wakiomba kuongezwa mishahara