Wednesday, April 20, 2016

RAIS MH.JOHN MAGUFULI AZINDUA DARAJA LA KIGAMBONI KATIKA PICHA

Raisi Mh John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi na wageni waliofika kushuhudia uzinduzi huo wa kihistoria wa daraja la kigamboni ambalo Mh Rais alishauri liitwe daraja la Nyerere

Mh Raisi akikata utepe kuashiria ufunguzi wa daraja hilo




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiteta jambo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau wakati wa  uzinduzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016



Muonekano wa Daraja la Kigamboni


 Picha zote kwa hisani ya blog.ikulu.go.tz/