Wednesday, November 29, 2017

SIMBA YALETA BEKI WA GHANA KUCHUKUA NAFASI YA MAVUGO

Klabu ya Simba ipo kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki kisiki raia wa Ghana, Malik Ismaila wa Tema Youth, kwa mujibu wa Mwanaspoti umeripoti kuwa nyota huyo tayari yupo Dar es salaam na dili lake likifanikiwa anatarajiwa kuchukua nafasi ya Laudit Mavugo ambaye anatarajiwa kutolewa kwa mkopo katika klabu ya Gor Mahia


kwa hisani ya:http://www.goal.com/sw

No comments:

Post a Comment