Tuesday, November 11, 2014

TOPE LA VOLCANO LASABABISHA MOTO MAREKANI

Moto umetokea katika jimbo la Hawaii Nchini Marekani moto huo umeunguza nyumba ya ilikuwa jirani na eneo ambalo tope hilo la moto lilikuwa likitiririka.wenyeji wa nuyumba hiyo hawakuwepo,tope hilo halikusababisha madhara zaidi.




Picha kwa Hisani ya BBC SWAHILI.

No comments:

Post a Comment