Tuesday, June 23, 2015
Thursday, June 18, 2015
Friday, June 12, 2015
COPA AMERICA KUMEKUCHA
Michuano mikubwa barani Amerika imeanza hapo jana kwa wenyeji wa mashindano hayo Chile kumenyana na Ecuador na wenyeji kuibuka na ushindi mnono wa Magoli 2-0.Mpambano huo ulifanyika katika jiji la Santiago.
Ikubukwe kuwa Chile haijachukua ubingwa huo kwa takribani miaka 99 sasa.
Kwa ushindi huo unawapa Chile ari ya kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya mwaka huu.
Ikubukwe kuwa Chile haijachukua ubingwa huo kwa takribani miaka 99 sasa.
Kwa ushindi huo unawapa Chile ari ya kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya mwaka huu.
![]() |
Arturo Vidal akifunga goli la kwanza kwa penati |
![]() |
Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi baada ya mechi kuisha Picha kwa hisani ya bbc sport |
Nigeria na mikakati dhidi ya Boko Haram
Serikali ya Nigeria na nchi nyengine
nne majirani zimekubaliana kuunda vikosi vya jeshi la pamoja ili kupambana na
wapiganaji wa kiislamu wa Boko Haram.
Kikosi
hicho kitapiga kambi katika mji mkuu wa Chad, Ndjamena, lakini kitakuwa chini
ya usimamizi wa Nigeria.Nchi ya Chad, Cameroon, Niger na Benin pia zitatoa
wanajeshi wake.
Baada
ya mkutano huo uliofanyika katika mji mkuu wa Nigeria Abuja, katibu mkuu wa
wizara ya ulinzi ya Nigeria, Aliyu Ismail, amesema kikosi hicho kitakuwa tayari
kuanza kazi ifikapo mwezi July mwaka huu:"viongozi wa nchi na serikali za
nchi za ukanda wa ziwa Chad na Benin zimechukua uamuzi ufuatao.
kupitisha
dhana ya ufanyaji kazi, mikakati ya ufanyaji kazi na nyaraka zinazohusiana na
kuundwa kwa vikosi vya pamoja katika kupambana na kundi la kigaidi la
wapiganaji wa Boko Haram, kupitisha kupelekwa kwa vikosi hivyo katika makao
makuu ya Ndjamena, Chad, kwa utekelezaji wa rasilimali watu na mahitaji ya
kifedha.
Kwa hisani ya http://www.bbc.com/
Wednesday, June 10, 2015
Tuesday, June 9, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)