Monday, January 21, 2013

Ukuta waangukia Magari zaidi ya Ishirini Ubungo Bus Terminal na Kujeruhi


Leo Asubuhi Pametokea ajali katika stand ya mabus makubwa yaendayo mikoa pale ubungo baada ya ukuta wa Sehemu ya kuegeshea magari kuangukia magari zaidi ya ushirini yaliyokuwa yamepark sehemu ya parking ya kusubiria abiria ndani ya stand hiyo, imereportiwa kuwa kuna watu wawili wamejeruhiwa..Chanzo cha ajali hiyo ni mkandarasi wa aliyekuwa anabomoa ukuta huo bila kuchukua taadhari..Habari na picha  zaidi zitawafikia baadae.

No comments:

Post a Comment