Ikubukwe kuwa Chile haijachukua ubingwa huo kwa takribani miaka 99 sasa.
Kwa ushindi huo unawapa Chile ari ya kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya mwaka huu.
![]() |
| Arturo Vidal akifunga goli la kwanza kwa penati |
![]() |
| Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi baada ya mechi kuisha Picha kwa hisani ya bbc sport |




No comments:
Post a Comment