Ikubukwe kuwa Chile haijachukua ubingwa huo kwa takribani miaka 99 sasa.
Kwa ushindi huo unawapa Chile ari ya kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya mwaka huu.
Arturo Vidal akifunga goli la kwanza kwa penati |
Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi baada ya mechi kuisha Picha kwa hisani ya bbc sport |
No comments:
Post a Comment