Wednesday, March 9, 2016

AJALI MAENEO YA MATUMBI

Alfajiri ya leo tar 9.3.2016,imetikea ajali maeneo ya matumbi Tabata ikihusisha daladala aina ya DCM lilikuwa likitokea Gongo la Mboto kuelekea Ubungo na maroli mawili moja la mizigo na jingine lilibeba ng'ombe.Idadi kubwa ya abiria walipoteza maisha .

Picha nyingine ni mbaya sana,samahani kwa hilo



No comments:

Post a Comment