Kocha wa klabu ya soka ya Chelsea nchini Uingereza Jose Mourinho amemsifu mshambulizi Fernando Torres baada ya kuisaidia timu yake kupata ushindi wa mabao 2 kwa 1 dhidi ya Manchester City katika mchuano wa ligi kuu ya soka nchini humo mwishoni mwa juma lililopita
No comments:
Post a Comment