Monday, October 28, 2013

Mourinho amsifia Torres kwa kuipa Cheslea bao la ushindi

Kocha wa klabu ya soka ya Chelsea nchini Uingereza Jose Mourinho amemsifu mshambulizi Fernando Torres baada ya kuisaidia timu yake kupata ushindi wa mabao 2 kwa 1 dhidi ya Manchester City katika mchuano wa ligi kuu ya soka nchini humo mwishoni mwa juma lililopita

No comments:

Post a Comment