Pua
ya Arun Patel iliharibika alipougua ugonjwa wa homa ya kichomi
Maambukizi
hayo yaliharibu pua yake akiwa mtoto mdogo.
Upandikizaji
kama huo ulifanywa nchini China mwaka 2013 ambapo mtu mmoja ambaye aliharibu
pua yake katika ajali alipewa pua mpya.
Wazazi
wa Arun walimchukua na kumpeleka katika daktari mwengine katika kijiji cha
jimbo la kati la Madhya Pradesh ambapo aliugua kichomi mda mfupi baada ya kuzaliwa.
Miaka
kadhaa baadaye,kundi moja la madaktari katika mji wa Indore liliamua kufanya
upasuaji usiokuwa wa kawaida ambapo Arun alipata pua mpya.
No comments:
Post a Comment