WAASI WA M23 WAANZA KUNDOKA GOMA
Hatimaye Waasi wa Kikundi cha M23 wameamua kuachia mji wa Goma na kwenda kujikusanya katika mji wa Sake nje kidogo ya Goma.Msemaji wa kundi hilio amesema wanjesh wa M23 wataondoka Goma hatua kwa hatua.hatua hii imekuja baada ya juhudi za Mataifa jirani na Kimataifa
No comments:
Post a Comment