Friday, February 8, 2013

GARI LAUWA TARIME


Gari dogo aina ya Toyota colora lenye namba T890cas limegonga watoto wawili ndugu waliokuwa wakitoka shuleni.watoto hao walikuwa wakisoma katika shule ya msingi sabasaba.miili ya watoto hao ilipelekwa hospitalini kwa ajili ya kuhifadhiwa.Dereva aliyekuwa akirndesha gari hilo alikimbia baada ya kupata upenyo

No comments:

Post a Comment