Raisi wa Nigeria Muhammadu
Buhar amesemaraia wote wa Nigeria ambao wamekwama Libya watarejeshwa nyumbani.
Amesema hayo baada ya video
za hivi karibuni mitandaoni zikionyesha waafrika wakiuzwa kwenya soko la mnada
wa watumwa huko nchini Libya
Buhari amesema”baadhi ya raia
wa Nigeria wanauzwa kama mbuzi dola kadhaa Libya”
Kwenye video iliyotolewa na
shirika la habari la CNN mapema mwezi huu ,vijana kutoka mataifa ya Afrika
kusini mwa jangwa la Salahara walionekana wakiuzwa kama wafanyakazi wa mashambani
.
Walikuwa wakiuzwa $400 katika
eneo ambalo halikuwekwa wazi huko Libya