Klabu ya Simba ipo kwenye hatua za
mwisho kumalizana na beki kisiki raia wa Ghana, Malik Ismaila wa Tema Youth,
kwa mujibu wa Mwanaspoti umeripoti kuwa nyota huyo tayari yupo Dar es salaam na
dili lake likifanikiwa anatarajiwa kuchukua nafasi ya Laudit Mavugo ambaye
anatarajiwa kutolewa kwa mkopo katika klabu ya Gor Mahia
kwa hisani ya:http://www.goal.com/sw
No comments:
Post a Comment