Friday, June 12, 2015

COPA AMERICA KUMEKUCHA

Michuano mikubwa barani Amerika imeanza hapo jana kwa wenyeji wa mashindano hayo Chile kumenyana na Ecuador na wenyeji kuibuka na ushindi mnono wa Magoli 2-0.Mpambano huo ulifanyika katika jiji la Santiago.
Ikubukwe kuwa Chile haijachukua ubingwa huo kwa takribani miaka 99 sasa.
Kwa ushindi huo unawapa Chile ari ya kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya mwaka huu.

Arturo Vidal akifunga goli la kwanza kwa penati


Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi baada ya mechi kuisha


Picha kwa hisani ya bbc sport

No comments:

Post a Comment