Wednesday, November 2, 2016

RAISI MAGUFULI AWASILI KUTOKA ZIARA YA NCHINI KENYA

Rais Magufuli akilakiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nairobi, Kenya.
- Alikuwa nchini Kenya katika ziara ya Kiserikali ya siku mbili

Mh.Raisi akisalimiana na viongozi wa juu Serikalini mara baada ya kutua

No comments:

Post a Comment