Rais Magufuli akilakiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nairobi, Kenya.
- Alikuwa nchini Kenya katika ziara ya Kiserikali ya siku mbili
Mh.Raisi akisalimiana na viongozi wa juu Serikalini mara baada ya kutua
No comments:
Post a Comment