Wednesday, December 19, 2012

TCRA HATAZIMA MITAMBO YOTE

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema ifikapo Desemba 31 mwaka huu, haitazima mitambo yote ya analojia kwenda dijitali na badala yake, itazima mitambo hiyo kwa awamu katika mikoa kadhaa nchini.
Imesema imechukua uamuzi huo kwa kuzingatia kuwa maeneo mengi nchini, hayajafikiwa na huduma ya digitali na kwamba inatoa nafasi katika maeneo hayo, ili kufikia hatua hiyo kwanza.

No comments:

Post a Comment