Huduma hii ina miezi minne tu sasa tangu ianzishwe hospitalini hapo na inaitwa kangaroo.Huduma hii inamuezesha mtoto aliyezaliwa kabla ya muda kuweza kupata joto analostahili.Huduma hii hutumika kwa mama kufungwa mtoto kwa kitambaa maalum kwenye tumbo lake mfano wa mnyama Kangaroo
Haina madhara kwa mtoto kweli maana binadamu tofauti na kangaroo!!
ReplyDelete