Tuesday, April 16, 2013

MOTO MAENEO YA POSTA

Moto umetokea jijini Dar maeneo ya Posta katika jengo moja ambalo wanaishi watu. Mwandishi wetu Zainab Chondo aliyekuwapo katika tukio ametuambia kwamba ghorofa hiyo ni mali ya NHC, na moto huo umeharibu jengo lenyewe na kuunguza vitu vilivyokuwa ndani. chanzo hakijajulikana, endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.

 
Kikosi cha zimamoto kikicharibu kuuzima moto huo

No comments:

Post a Comment