Thursday, April 4, 2013
AJALI MAENEO YA MAKUTANO YA SOKOTA
Ajali ambayo imetokea asubuhi hii katika makutano ya barabara ya sokota kati ya gari ndogo na pikipiki.
Katika ajali hiyo dereva wa pikipiki alifariki hapohapo na kuchukuliwa na askari.
Mwili wa dereva wa pikipiki ukiwa chini
Pikipiki iliyopata ajali
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment