Thursday, April 4, 2013

AJALI MAENEO YA MAKUTANO YA SOKOTA

Ajali ambayo imetokea asubuhi hii katika makutano ya barabara ya sokota kati ya gari ndogo na pikipiki.

Katika ajali hiyo dereva wa pikipiki alifariki hapohapo na kuchukuliwa na askari.

Mwili wa dereva wa pikipiki ukiwa chini

Pikipiki iliyopata ajali

No comments:

Post a Comment