Kambi ya Gashora nchini Rwanda inazidi
kupokea wakimbizi wanaotoka mkoa wa Kirundo nchini Burundi ,wengi wanakimbia
nchini mwao kutokana na usalama wa nchi
hiyo,wakimbizi hao wanatoka mikoa mbalimbai ya Burundi,vijana wa chama tawala inasemekana
kuwa wanahatarisha usalama wa nchi.Ujenzi wa mahema kwenye kambi hiyo
unaendelea,ila wakambizi wanalalamikia kuwa chakula hakitoshi.Wasimamizi wa
wakambizi wa nchi ya Rwanda wanasema kambi ni ya Muda tu ,Serikaliinafanya
mpango wa kuwahamisha na kuwapeleka Kirehe.inasadikiwa idadi ya wakimbizi imefikia
10000.
No comments:
Post a Comment