Malinzi amesema Young Africans hawapaswi kubweteka na ushindi
walioupata awali wa mabao 5-1, kikubwa wanapaswa kwenda kupambana kusaka
ushindi ugenini ili kuweza kufuzu kwa hatua inayofuata ya timu 16.
Endapo Young Africans itafanikiwa kuwatoa FC Platinum itaingia
katika hatua ya 16 bora na itakutana na mshindi kati ya timu za Benifica de
Luanda ya Angola au Etoile du Saleh ya Tunisia.
No comments:
Post a Comment