Waandamanaji
pia wameelezea kutoridhika na vyombo vya usalama nchini humo wakisema
havikuchukua hatua za kutosha kutoa ulinzi kwa waliouawa na kwa raia wengine
kwa jumla.Wazazi,
jamaa na marafiki wa wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu cha Garissa wamekuwa
wakiendelea kuwasili katika eneo hilo kuitambua miili ya wapendwa wao.Waliojeruhiwa
wanaendelea kupata matibabu .
Kwa hisani ya BBC Swahili
No comments:
Post a Comment