Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete (pichani kati) na Waziri
Mkuu Mh.Mizengo Pinda (pichani shoto) wakishuhudia askari wa jeshi la
Wananchi (JWTZ) wakipiga risasi hewani kama sehemu ya heshima ya kumuaga
aliyekuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa mkoani Kagera leo,Marehemu Luteni
Kanali Benedict Kitenga (mstaafu) huko kwenye makaburi ya Mlima Kola
Kigurunyembe mkoani Morogoro. PICHA NA IKULU.
Source:fullshangwe blog
No comments:
Post a Comment