Friday, November 30, 2012

HADHI YA PALESTINA YAPANDA UMOJA WA MATAIFA

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepiga kura ya  na kupitishwa kuboresha hadhi ya Palestina.Mkutano 193 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa walipiga kura na kuipa Palestina hadhi ya kuwa mwanachama mwaangalizi, matokeo ambayo yalikuwa sana yanatarajiwa.

No comments:

Post a Comment