Wednesday, November 28, 2012

RAIS MISRI APINGWA NA WANANCHI





Waandamaji nchini Misri wamekesha katika viwanja vya Tahrir wakimpinga Rais

Morsi kwa hatua yake ya kujilimbikizia madaraka.Maeneo mengine nchini humo wanandamanaji wamejikusanya kupinga hatua hiyo ya Raisi Mursi.Wanadamanaji hao walikesha wakiimba nyimbo mbalimbali za kumlaani Raisi
Morsi

No comments:

Post a Comment