RAIS MISRI APINGWA NA WANANCHI
Waandamaji nchini Misri wamekesha katika viwanja vya Tahrir wakimpinga Rais
Morsi kwa hatua yake ya kujilimbikizia madaraka.Maeneo mengine nchini humo wanandamanaji wamejikusanya kupinga hatua hiyo ya Raisi Mursi.Wanadamanaji hao walikesha wakiimba nyimbo mbalimbali za kumlaani Raisi
Morsi
No comments:
Post a Comment