ZANZIBAR WAWASHIKA SHATI RWANDA
Zanzibar Heroes jana iliwashika shati Rwanda baada ya kuwafunga 2-1,Zanzibar ndio walioanza kuongoza kufungu mabao yote mawili na baadae Rwanda walirudisha goli 1.Vijana wa Zanzibar walionekana kuwa makini sana katika mchezo huo
No comments:
Post a Comment