Friday, November 30, 2012

ZANZIBAR WAWASHIKA SHATI RWANDA

Zanzibar Heroes jana iliwashika shati Rwanda baada ya kuwafunga 2-1,Zanzibar ndio walioanza kuongoza kufungu mabao yote mawili na baadae Rwanda walirudisha goli 1.Vijana wa Zanzibar walionekana kuwa makini sana katika mchezo huo

No comments:

Post a Comment