Thursday, November 29, 2012

UHURU NA RUTO WAKO HURU

Mahakama Kuu nchini Kenya imewakubalia wanaharakati nchini kenya kufuta kesi iliyokuwa ikiwakabili Makamu Waziri mkuu nchini humo Uhuru Kenyata na Mbunge wa Eldorate William Ruto

No comments:

Post a Comment