Thursday, November 29, 2012

TANZANIA YALALA 1-0

Jana Tanzania ilijitupa uwanjani kupambana na Burundi,katika mchezo wake wa pili Tanzania ilipoteza mchezo huo baada ya kufungungwa bao 1 kwa njia ya Penati iliyopatikana Dk 50 ya mchezo baada ya mshambuliaji wa Burundi Suleiman Ndikumana kukwatuliwa eneo la hatari na beki Shaban Kapombe.Penati hiyo ilipigwa na Ndikumana na kufunga ikiwa ni goli lake la 4 katika mashindano hayo ya Tusker Challenge Cup yakifanyika nchini Uganda.Leo Zanzibar inajitupa uwanjani kuivaa Rwanda

No comments:

Post a Comment