Thursday, November 29, 2012

KUNDI LA AL-QAEDA YAITAKA MALI KUKATAA ASKARI WA KIGENI

Kamanda wa juu wa vikosi vya Al-Qaeda Kaskazini mwa Afrika amewataka Wananchi wa Mali kukataa kuingiliwa kati na wageni kama njia ya kutatia mgogoro wa nchi hiyo.
Amesema mgogoro huo unaweza kutatuliwa ndani kwa njia ya Maridhiano baina ya Waislamu bila kumwaga tone la damu
Vikundi mbalimabli baadhi vikiwa na uhusiano na Al-Qaeda vimekuwa vikipigana kudhibiti upande wa Kaskazini kwa muda wa miezi nane baada ya jeshi kuipindua serikali mwezi Machi

No comments:

Post a Comment