Huduma za mtandao na simu zilikatika katika mji mkuu wa Damscus pamoja na maeneo ya katikati mwa Syria.
Kumekuwa na mapigano zaidi huko Damascus na karibu na uwanja wa ndege, kati ya vikosi vya serikali na waasi.
Kulikuwa na safari moja tu ya ndege iliyofanikiwa Alhamisi.
Serikali inasema hali hiyo ilisababishwa na
waasi, lakini habari zinaeleza kuwa ni serikali ndiyo iliyokatiza mfumo wa
mawasiliano ili kuzuia mawasilaino kati ya wapiganaji waasi.
No comments:
Post a Comment