Thursday, July 11, 2013

Safari ya kupata elimu

Sylivia ni msichana wa miaka 8 anayeishi katika kijiji kimoja nchini Tanzania.Ni msichana anyetoka kijijini akipigania elimu yake.
Fuatilia safari yake ya kupata elimu katika picha

Sylivia akiagana na mama yake tayari kuanza safari yake kwenda shuleni

Hii ni sehemu ya njia ambayo anapitia Sylivia kwenda na kurudi shuleni,Je ni salama kwake?

Sylivia akielekea shuleni





Sylivia kiingia eneo la shule


No comments:

Post a Comment