Thursday, July 25, 2013

TRENI YAACHA NJIA NA KUANGUKA SPAIN YAUA 77

Ajali hiyo inasemekana kuwa kubwa kuliko ile ya Mlipuko wa Bomu wa Madrid mwaka 2004,ajali hiyo imesababisha vifo vya watu 77,na inawezekana ikaongezeka kutokana na baadhi ya sehemu hazifikiki.Treni hiyo ilikuwa na abiria wapatao200-218,Sehemu ambayo ajali imetoka ilikuwa na kona kali,treni ilikuwa ikitembea 108-200 km kwa saa,


No comments:

Post a Comment