Wednesday, July 24, 2013

TAHADHARI

Kuna taarifa ya utapeli hatari umeingia mjini..watu wanajifanya wanauza manukato(perfumes).Watakushawishi unuse kipande cha karatasi ambacho kimenyunyuziwa dawa yenye sumu ambayo ukinusa tu unaweza kujikuta umepoteza fahamu na hapo unawapa nafasi ya kuibiwa ulicho nacho.Tafadhari kuwa mwangalifu unapokutana na watu kama hao.

Mtumie ujumbe huu pia ndugu na rafiki yako na watu wote unaowajali .

No comments:

Post a Comment