Friday, February 15, 2013

Breaking News

Polisi jijini DSM imepambana na baadhi ya watu wanaodaiwa ni Waumini wa dini ya Kiislam walioamua kuandamana katika maeneo ya Kariakoo licha ya kupigwa marufuku kwa maandamano hayo na jeshi la Polisi,na lengo la maandamano hayo ni kushinikiza kupewa dhamana kwa Sheikh Issa Ponda.

No comments:

Post a Comment