Breaking News
Polisi
jijini DSM imepambana na baadhi ya watu wanaodaiwa ni Waumini wa dini
ya Kiislam walioamua kuandamana katika maeneo ya Kariakoo licha ya
kupigwa marufuku kwa maandamano hayo na jeshi la Polisi,na lengo la
maandamano hayo ni kushinikiza kupewa dhamana kwa Sheikh Issa Ponda.
No comments:
Post a Comment