Friday, February 8, 2013

ZOEZI LA UZINDUZI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA LILILOFANYWA NA MH.RAISI

Mh.Raisi akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi
waziri wa Mambo ya ndani Nchimbi akimkabidhi Raisi kitambulisho cha kwanza
Waziri Nchimbi pia alimkabizi Mke wa Raisi Mama Salma Kikwete kitambulisho
Raisi akimkabizi kitambulisho cha utaifa aliyekuwa Raisi wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.A.Mwinyi
Aliyekuwa Raisi wa awamu ya Pili Mh.B.Mkapa akipokea kitambulisho chake kutoka kwa Raisi
Aliyekuwa raisi wa zanzibar Mh.Karume akikabidhiwa kitambulisho chake
Makamu wa kwanza wa raisi Zanzibar Mh.Maalim Seif akipokea kitambulisho kutoka kwa Rais.JKikwete
Askofu mkuu wa KKKT akipokea kitambulisho kutoka kwa Rais
Ilikuwa zamu ya Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kupokea kitambulisho chake
Profesa Limbumba naeye alikabidhiwa cha kwake
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk.Dau akipokea Kitambulisho chake
Mkurugenzi Mkuu wa PPF akipokea kitambulisho chake

No comments:

Post a Comment