Monday, February 18, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATANGAZWA

Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mh.Shukuru kawambwa leo ametangaza matokeo ya Kidato cha nne,maarifa na QT.

jumla ya watahiniwa waliofaulu ni 23520 kuanzia daraja la I hadi la IV,wasichana waliofaulu ni 7178,na wavulana ni 16342.Waliofaulu daraja la kwanza ni 6141,daraja la pili ni 6495,daraja la tatu ni 15426,na waliofeli ni 24903.

shule bora ni St.Francis Girls ya Mbeya,marian Boys ya Bagamoyo,feza Boys Dar es salaam,Marian Girls Bagamoyo na Sisini ambazo ndizo shule tano bora

                                  BOFYA HAPA KUONA MATOKEO

No comments:

Post a Comment