Friday, January 11, 2013

DIWANI HATIANI

Jeshi la polisi limewakamata watu kumi na tano akiwemo diwani mmoja wa kata ya Mugango wilaya ya Butiama kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM kuhusiana na mauaji ya kinyama na kikatili ambayo yameibuka hivi karibuni mkoani Mara hasa katika wilaya za Butiama na Musoma.

No comments:

Post a Comment