![]() | |
Millad Ayo akiwa ndani ya gari ya askari kuanza safari |
Kijana mdogo mwenye sauti
ya bass ambeye anapiga mzigo pale clous redio sasa yupo huko loliondo kupata
story ya babu wa loliondo ila mara baada ya kufika huko amepata taarifa kuwa
kuna vita kali kati ya wamasai na wasonjo huku silaha zinazotumika ni mishale
na na bunduki sasa yupo katika wakati mgumu anaomba duwa zenu kama
alivyoandika.katika kurasa yake.
Good morning watu wangu, nimefika Loliondo salama, kazi imebaki kushuka kwa babu sasa ila nimeshtushwa kusikia sasa hivi kuna vita kubwa ya risasi na mishale ya Wamasai na Wasonjo, na ninakokwenda ndio wanapigana, kiukweli siwezi kuiacha hii stori ya babu, naondoka na gari ya polisi, maombi yenu muhimu.
Good morning watu wangu, nimefika Loliondo salama, kazi imebaki kushuka kwa babu sasa ila nimeshtushwa kusikia sasa hivi kuna vita kubwa ya risasi na mishale ya Wamasai na Wasonjo, na ninakokwenda ndio wanapigana, kiukweli siwezi kuiacha hii stori ya babu, naondoka na gari ya polisi, maombi yenu muhimu.
Source:THE SUPER STARS
No comments:
Post a Comment