Spika asiwe mbunge, mawaziri wasiwe wabunge...!
- Ashauri Wakuu wa mikoa na wilaya nao wasiwe wabunge.
- Apendekeza Ibara ya 67 ya Katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili kulinda demokrasia. Ibara hiyo inasema ili mtu awe mbunge lazima atokane na chama cha siasa, sasa Katiba Mpya ikataze kuwavua uanachama wabunge ambao wamechaguliwa na wananchi hata kama wanatokana na vyama vya siasa
- Ashauri Wakuu wa mikoa na wilaya nao wasiwe wabunge.
- Apendekeza Ibara ya 67 ya Katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili kulinda demokrasia. Ibara hiyo inasema ili mtu awe mbunge lazima atokane na chama cha siasa, sasa Katiba Mpya ikataze kuwavua uanachama wabunge ambao wamechaguliwa na wananchi hata kama wanatokana na vyama vya siasa
Source:Jamii Forum
No comments:
Post a Comment